Bovinae
Mandhari
| Bovinae | ||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Nyati wa Afrika (Syncerus caffer) | ||||||||||||||
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
| Ngazi za chini | ||||||||||||||
|
Jenasi 10:
|
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bovinae ni nusufamilia kubwa katika familia Bovidae. Spishi zake zinafanana na ng'ombe. Nusufamilia hii ina jenasi kumi ndani yake:
Jenasi
[hariri | hariri chanzo]- Bison (Baisani)
- Bos (Ng'ombe)
- Boselaphus (Nilgai)
- Bubalus (Nyati-maji)
- Pseudonovibos (Kting Voar) – imekabiliwa, labda haipo
- Pseudoryx (Saola)
- Syncerus (Nyati wa Afrika)
- Taurotragus (Pofu)
- Tetracerus (Kulungu pembe-nne)
- Tragelaphus (Tandala)
Picha
[hariri | hariri chanzo]- Baisani wa Amerika
- Ng'ombe wa Ulaya
- Nilgai
- Nyati-maji na ndama
- Saola
- Nyati wa Afrika
- Pofu
- Kulungu pembe-nne
- Tandala
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.